KWANINI WASANII WA KIKE HAWAOLEWI

0 comments

 Image result for beautiful woman image




kuna sababu nyingi sana zinazopelekea wasaniii wa kike wasiolewe, sababu kuu ya kwanza ni kukosekana kwa uaminifu, wanaume wengi wana hofu ya kutendwa.

lakini pia mavazi ya kujidharirisha, nikiwa na maana ya kuvaa nusu uchi, watu wasanii wengi hawavai kwa heshima matokeo  yake hakuna mwanume mwenye akili anae weza kuoa mtu ambae anajidharirisha mwenyewe.

lakini pia kupenda maisha ya hali ya juu sana imekua ni sababu ya wanaume wengi kushindwa kuwaoa wanawake wa aina hii.

ukitaka kuolewa usiangali umaarufu wako. kuwa wife material
Image result for beautiful woman image




Read More »

KWANINI WATU HUFANYA MAPENZI

0 comments

Image result for love making image

watu wengi wanafanya mapenzi lakini hawajui kwanini wanafanya, wengi tunadhani ni kwasababu tunanyege au tunafanya kwasababu ya kuongeza idadi ya watu.

lakini hasa kwanini tunafanya mapenzi, hili ndilo swali kila mtu anasababu zake za kufanya mapenzi lakini leo hii nataka nikuonyeshe ssababu ya msingi kabisa inayo kufanya wewe ufanye mapenzi.

kwanza ni starehe ya mwili, hakuna binadamu asiyependa kupumzika na kurelax, ukifanya mapenzi najua unafahamu utulivu wa nafsi unaokua nao.

lakini pia kufanya mapenzi ni afya, unafanya mapenzi kwa ajili ya afya ya akili, akili yako inahitaji vitu flani vinavyo patikana katika hisia kali za kimapenzi.

lakini mapenzi yanaleta hali ya kujiamini katika maisha na hatimaye kuleta mafanikio, mtu amabe hafurahii mapenzi hawezi kuwa na mafaniko makubwa katika maisha tafuta mtu unaempenda uishi nae.

mapenzi ni starehe ya kila mtu, hii ni haki ya kila mmoja wetu, hupaswi kunyima wala kumyima mwenzio mapenzi.
Image result for love making image


Read More »

JE INAFAA KUMTUKANA MPENZI WAKO WA ZAMANI

0 comments
 Image result for love image


jamani hivi inahusu kweli mtu na akili zako, kuanza kumtukana mpenzi wako kisa mmeachana. hakika binafsi naona ni mapenzi ya kitoto.

haiwezekana kama unajipenda na ujiheshimu unaanzaje kutukana kwa kufanya hivyo unajizalilisha wewe na unaye mtukana pia.

usifanye kosa hili la kumtukana mpenzi wako, kama mme bwagana achana nae endelea na maisha yako


Image result for love image

Read More »

mary J

1 comments
Image result for james packer mariah carey
mary J , akiwa na jamaa ake mpwa anae date nae kwa sasa

Read More »

faini za wachezaji barca ni noma

0 comments

Michezo

Wachezaji wanne wa FC Barcelona wanaoongoza kwa kuchelewa mazoezini, hii ndio faini

Kocha wa klabu ya FC Barcelona ya Hispania Luis Enrique ameweka utaratibu kwa wachezaji wa klabu hiyo kupigwa faini kama hawatakuwa na utamaduni wa kuheshimu muda, lengo la Enrique ni kuhakikisha kila mchezaji aweze kwenda na muda.
March 25 Gerrard Pique ndio ametajwa kuongoza kwa uchewaji zaidi ndani ya klabu hiyo akifutiwa na Neymar, Adriano na Arda Turan. Hiyo ndio list ya wachezaji wa klabu hiyo wanaoongoza kwa kuchelewa wakati wa mazoezi na mechi.
Bar
Wachezaji wa FC Barcelona huwa wanapigwa faini ya euro 200 ambazo ni zaidi ya shilingi laki nne za kitanzania kwa kosa la kuchelewa mazoezini, lakini hupigwa faini ya euro 400 ambazo ni zaidi ya shilingi laki nane za kitanzania, kama utachelewa wakati wa mechi.
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika AYO tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na MillardAyo kwenye TwitterFBInstagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa

Read More »